
free (sina mali, sina deni) - khadja nin lyrics
ahiya, ahiya
kwa baraka
mimi napona
kabisa, ni hajabu
sina mwili tena
niko sawa pepo
mimi maskini
sina mali, mali, sina deni
mali yangu baba
nanyesha kama mvua
naruka kama ndege
nacheka kama mtoto
ahiya, mama ahiya
sina haja, ya kitu
mimi napona
i′m free (ah*ah) kama maji (ah*ah)
natembea mpaka katika pori
mimi, mimi maskini
sina mali, mali, sina deni
mali yangu baba
naota kama maua
napita kama nyota
nawaka kama jua
pole pole mama
wakati w*ngu umefika, mimi napona
i’m free, kama hewa
naingia mpaka fasi inapenda
mimi, ni maskini
sina mali, mali, sina deni
mali yangu baba
naona kama macho
nawaka kama moto
nalia kama ngoma
i′m free (oo*oo) kama maji (oo*oo)
natembea mpaka katika pori
kama hewa, kama macho, kama nyota, kama maji
kama mimi leo, mimi napona
i’m free (kama hewa, kama macho)
i am free (kama nyota, kama maji)
kama mimi leo, mimi napona
ahiya (ah*ah) mama ahiya (ah*ah)
sina mali, mungu, sina deni
Random Song Lyrics :
- tore the ties (interlude) - lil grave lyrics
- i been goin' in - ghostshaunted lyrics
- ja sam mim bog - vasamama ft. pjetre lyrics
- hold me down - noname lyrics
- xatirələr - elmira rəhimova lyrics
- benzos shattered my soul - rcbros lyrics
- cut ur name in my arm :/ - offaflat lyrics
- to find a man - fka twigs lyrics
- lsd (citação exagerado) (ao vivo) - gloria groove lyrics
- call me wild - cory wong lyrics