lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu nitolee – krizbeatz

Loading...

ka ni vera, huddah mboka(nitolee)
hadi brenda na ka wambo(nitolee)
na nani akidai banana(nitolee)
akitaka hata hadharani(nitolee)
hadi brenda na ka wambo(nitolee)
na nana akidai banana(nitolee)
akitaka hata hadharani(nitolee)
nitoleee….

jicho nyanya kama papa
mimi nawasha shada
kina liza ni ma kwela waatingiza
cheki vile huko nyuma kunabingirika
zimeshika zimerunda cheki kina linda
ni mashasha kata waba, tingiza madiaba
juu chini mi napenda tu wabawaba
kuanzia usiku mpaka mchana(nitolee)
kuna njeve nje bana(nitolee)
shapu ni ya vera, sura akothee
ka ni vera, huddah mboka(nitolee)
hadi brenda na ka wambo(nitolee)
na nani akidai banana(nitolee)
akitaka hata hadharani(nitolee)
hadi brenda na ka wambo(nitolee)
na nana akidai banana(nitolee)
akitaka hata hadharani(nitolee)
cheki dada kujibamba kwanza
na madem ni madiva shake hiyo haga kwanza
cheki sp*ce ni biggy shake hiyo haga love
sinyorita kata kiuno kuwamaliza
aah mdunge liquor
hakuna mchezo wa kuwakilisha dem
mpige lugha
akikubali ni k*m*maliza ma(nitolee)
ka ni vera, huddah mboka(nitolee)
hadi brenda na ka wambo(nitolee)
na nani akidai banana(nitolee)
akitaka hata hadharani(nitolee)
hadi brenda na ka wambo(nitolee)
na nana akidai banana(nitolee)
akitaka hata hadharani(nitolee)
we mshy vako za mavajo ka maria
iza basi understand mi nina tabia
mbaya sana sana sana kama unaf*gia
rada ni kula na macho tu ukinikazia
kwanza teremsha zote zenye umevalia
tukichafua wasafi pale tanzania
nikirarua asali tu lazima utalia
venye naiona iko wazi lazima tu nitaingia
ka ni vera, huddah mboka(nitolee)
hadi brenda na ka wambo(nitolee)
na nani akidai banana(nitolee)
akitaka hata hadharani(nitolee)
hadi brenda na ka wambo(nitolee)
na nana akidai banana(nitolee)
akitaka hata hadharani(nitolee)

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...