
haujamskia - ksonrap lyrics
hauk*mskia babuu alivyokwambia kimbia/
hauk*mskia salut alivyosema chunga sana/
sikio lakiziwi haukusikia ya wahenga/
kifo jela au za umataasisi hak*mskia langa?/
hauk*mskia jaymoe aliposema ulimwengu ndo mama/
hamk*mskia roma/
ulikuwa wapi wakati tmk wanapiga mapanga/
rafael hauk*msikia saganda/
wakati wagosi wapotanga au dani msimamo siku nzuri inavyokwenda/
hak*mskia balozi dola ubalozini/
sasa yupo unyamwezini marekani/
ungeona mbali ungemkiliza afande wa darubini/mkali wa hizi rhymes
sasahiv ni waziri ila alianza kitambo hicho mwanafalsani/
unaweza k*muita binam wa mabinti dam dam/
please forgive me kama hauk*msikia majani watu waligonga nakala kwa mamu/
haukuwaskia kikosi wakati wanapiga mizinga pale block 41 (kino)/
ilikuwa ni noma usiuze wakati kiraka rado ana mwaga sana wino/
hauskia wakati anatubu chidibenzino haukukaa tayarl kunamskiliza jos mtambo kigambonino/
ulikuwa kijijini sitimbi wakati asuu anatamba na misambano/
kulikuwa na mwinjuma mumini kabla ya hizi amapiano/
umekosa vingi hauk*mskia hongera wa michano/
Random Song Lyrics :
- nothing's immortal - fucked up lyrics
- marijuana (weed song) - attic abasement lyrics
- mbuzi (freestyle) - aka lyrics
- to paint a new world - soulmass lyrics
- sadfluid - dark smith lyrics
- untitled (track 22) - bar italia lyrics
- ser tua - mia rose lyrics
- dale ven* - el fresch lyrics
- obi toppin - stoic & reyan lyrics
- carioca - sickness el bandog lyrics