lirik lagu ngarambe – leteipa the king
verse 1: (leteipa the king)
kameshona kama kiondoo
kifuani niembe ukitaka ujimenyee, kama kametoka bondo
kanavyonyandua dompo, hakajaalikwa kinywaji kajiekee , bado kanatepa bondoo
kanadai wine na cider zinaboo
form ni mangwai mawada na machrome
na kamedecide, kuwahi chali masai
juu size ya kijinai ni fine na wana dooh
she likes castles na hakadai hustle
she is like mambo please nadai bundles
please kabuy sandals, hills ziwahi kando
mi sidai scandals maybe nikuwahi cuddle
hook: (leteipa the king)
kitega uchumi chake saidong’i (eeeh)
thao jamo kanawahi mbogi, (eeh)
hata ukiwa na mbao hakatai noti (eeeh)
chorus: (leteipa the king)
(ngarambe nyosto ngarambe) laugh
(ngarambe nyosto ngarambe)
(ngarambe) kalishower mwaka jana ni mafuta kamejipaka
(ngarambe nyosto ngarambe) luku mpaka kaombe ndio sasa katokee
(ngarambe) kamedunga claddy mpya na thango linakiraka
(ngarambe nyosto ngarambe) sura wacha tuongee, pengine tukaombee
(ngarambe)
verse 2 (pop karly)
slay queen anadai mtu pesa
bila doh anadai utamtesa
ukiwa nazo pia anadai kuziwaste aah
cheza mbali bro lenga hizo stress
we ni tapeli umepatana na matheri
zako vako we huwezi nitapeli
zako vako we huwezi bonga kweli
sura chura basi kama nakejeli
after this kuna wale watacatch
mi sijali kama ngoma umekutouch
nishasema so siwezi nikareverse
get a life basi kama nakujudge
(ngarambe nyosto ngarambe)
hook: leteipa the king
kitega uchumi chake saidong’i (eeeh)
thao jamo kanawahi mbogi, (eeh)
hata ukiwa na mbao hakatai noti (eeeh)
chorus: (leteipa the king)
(ngarambe nyosto ngarambe) laugh
(ngarambe nyosto ngarambe)
(ngarambe) kalishower mwaka jana ni mafuta kamejipaka
(ngarambe nyosto ngarambe) luku mpaka kaombe ndio sasa katokee
(ngarambe) kamedunga claddy mpya na thango linakiraka
(ngarambe nyosto ngarambe) sura wacha tuongee, pengine tukaombee
(ngarambe)
autro: (leteipa the king)
unafaa kuwa pedi, unavyopenda k*medi
princess pat na unaflash mpaka zedi
una deals shady unavyopenda mijeledi
sikuchochi naona ukikufa na ukedi
kufua hupendi, na bafu huendi
unasubiria mkapige sh*sh* wikendi
aaaaaah
(ngarambe nyosto ngarambe)
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu waka flocka flame › lirik lagu intro (salute me or shoot me 2.5) – waka flocka flame
- kumpulan lirik lagu orinoco › lirik lagu the devil – orinoco
- kumpulan lirik lagu lois lane › lirik lagu tonight – lois lane
- kumpulan lirik lagu mass appeal › lirik lagu old english – mass appeal
- kumpulan lirik lagu sam prekop › lirik lagu the company – sam prekop
- kumpulan lirik lagu marty mard › lirik lagu ucaseedasmoke – marty mard
- kumpulan lirik lagu the rolling stones › lirik lagu empty heart – the rolling stones
- kumpulan lirik lagu david bowie › lirik lagu little wonder (live, glastonbury, 2000) – david bowie
- kumpulan lirik lagu jean p the mc › lirik lagu rock it – jéan p the mc
- kumpulan lirik lagu erik og kriss › lirik lagu aldri mer – erik og kriss