lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu came up (onetake) – lil dwin

Loading...

verse:
okay like no complaining
walisema hili game but i play no games
maana mi nasaka tu hizo ten
walibana kila sehemu ila mishe bado same
waambiwe kuwa they can’t contain me
waambie kuwa they can’t compare me
waambie niko juu kama wakifika juu wakizani niko juu
waambie tena juu nkuteni (ohh god,danmit)
yeah
what more to say?
wait
ama blow up in a couple of days
ahh they cant relate no
ama need me just a couple of bae’s
na ka sikosei
all of my n-gg-z don’t do conversay
tena ukikuta wamenyonga some jays
kama unachetu its better you pay
then you gone
get off our zone
alafu hii verse nliandika tu home
sema na swagger kama sitoki dom
alafu sio tizi its the way i was born
alafu niko busy she calling my phone
alafu she saying that am doing her wrong
me na machizi so get ya patrol
alafu tuone who dropping the bombs
skia
siku hizi wanaongea tu nyuma ya pazia
tena nikitimba wanaigizia
waarabu wapemba juana kwa vilemba
alafu nishawatenga game nimepania
its funny wanazani wataziba na njia
niko na wana hawana hata ngeli ya kuombea tu maji
hawajui hata maana ya fear so you better fear
woke up aiming
dats right i woke up aiming
so ka ukiongea kuhusu my squad
make sure na ujinga usemi
y’all n-gg-z keep on learning
alafu kavipi acheni
coz i”be riding round the city
bila hata license (ohh god,d-mnit)
most
so underrated but doing the most
kichwani miplani ka kuvuka hadi coast
mama anasema am dripping on sauce
alafu wambea wanabaki kuforce
wana wanasema we gonna do what it cost
vipi tutatoka kama bwana misosi
maana kabati limejaa tu corpse
alafu somebody gotta call the cops
sh-t!
sema nini i keep it hundred
man sitaki chenga
ka na jini maana nafunika hata nikikaza ama nikiremba
na kama uniamini embu kaa tu chini
maana k!lling n-gg-z so ka napenda
atafanya nani nsipofanya mimi
na wanangu flani kama wanachemba
kila ngoma banger yah so true
anza chana toka grade 2
anza bana toka form 2
i”be balling with the same crew
i”be chilling with the same troop
na nafanya what you cant do
kama mimi wapo so few
yah ni mimi na mimi so who are you?
mooohfaaaka
mtt wa pili outro : mtoto wa pili nyumbani

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...