lirik lagu dr xolly-sitaki nataka official lyrics – dr xolly
yeeeahh
(dr xolly)
….smb…..(starbeats)
verse 1
hakuna utata nikila bata najua kila kona mi nanata nawee
nikizipata unanifata najua kila sekta nadunda nawee..wewee
uliyefanya niitwe mfalme,pendo lako kwa dakika kw-ngu karne
ukija na baridi la ukame,kwanza unavyonukia sitaki mi nihame
mpaka mahari natoa posho…natoa posho
we ndo mwali binti kisosho…binti kisosho
ukiwa mbali am not confidential…not confidential
bado natafakari na kesho..kesho..kesho
chorus
utanipenda kama sitaki nataka…kama sitaki nataka
nitakupenda vile kama sitaki nataka…kama sitaki nataka
utanipenda pia kama sitaki nataka…kama sitaki nataka
verse 2
mrembooo njoo tujenge malengoo
fundi wa mahaba fundi wa mijengo
mi malaya un-z-sikia hizo skendo
baba la mababa baada ya kufanya tendo
unapokaa unapoishi mi siwazi
kwenye vigodoro au mitaa ya uswazi
niletee ma shost hata kama majambazi
piga wote risasi mi ndo kama baba mzazi
nizalie watoto watoto kila uhuni
kw-ngu iwe changamoto moto bila kuni
mi ndo mbunifu mwenye mbinu za kubuni
mapenzi yapo kwako nimeachana na sabuni
bridge
(chorus)
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu luni › lirik lagu do it like – luni
- kumpulan lirik lagu emac money › lirik lagu gna – emac-money
- kumpulan lirik lagu june one › lirik lagu enemies – june one
- kumpulan lirik lagu sasoree › lirik lagu gun & les flowers – sasoree
- kumpulan lirik lagu zorz › lirik lagu kárhoztatott – zorz
- kumpulan lirik lagu zotiyac › lirik lagu cherry pie – zotiyac
- kumpulan lirik lagu clam gal › lirik lagu clam gal – clam gal
- kumpulan lirik lagu etzel › lirik lagu intro – etzel
- kumpulan lirik lagu puner › lirik lagu katana – puner
- kumpulan lirik lagu der w › lirik lagu meditation mit kippe und bier – der w