
kwa msaada wa mungu - martha mwaipaja lyrics
kwa msaada wa mungu tunashinda ya dunia
kwa msaada wa mungu tunashinda ya dunia
tunasonga mbele kwa sababu ya mungu
hatukati tamaa kwa neema ya mungu
tunasonga mbele kwasababu ya mungu
hatukati tamaa kwa neema ya mungu
kwa msaada wa mungu tunashinda ya dunia
kwa msaada wa mungu tunashinda ya dunia
tunasonga mbele kwa sasabu ya mungu
hatukati tamaa kwa neema ya mungu
tunasonga mbele kwasababu ya mungu
hatukati tamaa kwa neema ya mungu
nashukuru kwa sababu tunaye baba mwenye huruma
anayetuhurumia tupitapo kwenye matatizo
nashukuru kwa sababu tunaye baba mwenye huruma
aliyesema tusifadhaike mioyoni mwetu
asingekua pamoja nasi nani angekua nasi
asingekua mwenye huruma leo tungekuaje
asingetuhurumia baba nani angetushindia
asingekua mpole baba tungeenda kwa nani
tupo hivi tulivyo kwa sababu ya baba
tupo hivi tulivyo kwa sababu ya mungu
kwa msaada wa mungu tunashinda vyote
kwa msaada wa mungu tunashinda ya dunia
kwa msaada wa mungu tunashinda ya dunia
tunasonga mbele kwa sasabu ya mungu
hatukati tamaa kwa neema ya mungu
tunasonga mbele kwa sasabu ya mungu
hatukati tamaa kwa neema ya mungu
kwa msaada wa mungu tunashinda ya dunia
kwa msaada wa mungu tunashinda ya dunia
tunasonga mbele kwa sasabu ya mungu
hatukati tamaa kwa neema ya mungu
tunasonga mbele kwa sasabu ya mungu
hatukati tamaa kwa neema ya mungu
ni mungu atabaki kuitwa mungu kw*ngu
amenipenda hata mimi, nisiyetazamiwa
ni mungu atabaki kuitwa mungu kw*ngu
amenipenda hata mimi nisiyetazamiwa
hivi nilivyo mimi leo, ni kwa neema ya baba
hivi nilivyo mimi leo, ni kwa neema ya mungu
angetazama elimu yangu, ni nani angenichagua
angetazama wenye pesa, mimi si chochote
angetazama elimu yangu, ni nani angenichagua
angetazama wenye pesa, mimi si chochote
nipo hivi nilivyo mimi, kwa neema ya baba
nipo hivi nilivyo leo, kwa neema ya baba
kwa msaada wake, nashinda yote, eh
kwa msaada wa mungu tunashinda ya dunia
kwa msaada wa mungu tunashinda ya dunia
tunasonga mbele kwa sasabu ya mungu
hatukati tamaa kwa neema ya mungu
tunasonga mbele kwa sasabu ya mungu
hatukati tamaa kwa neema ya mungu
kwa msaada wa mungu tunashinda ya dunia
kwa msaada wa mungu tunashinda ya dunia
tunasonga mbele kwa sasabu ya mungu
hatukati tamaa kwa neema ya mungu
tunasonga mbele kwa sasabu ya mungu
hatukati tamaa kwa neema ya mungu
Random Song Lyrics :
- nothing more to say - jessie james decker lyrics
- till we get it right - kadant lyrics
- ふしぎしりとりうた (a funny word-chain song) - 森公美子 (kumiko mori) lyrics
- still holding on - presence (2) lyrics
- color pastel - rafa pabön & juhn lyrics
- กักขัง (detention) - thinka1ot lyrics
- rocking routines (rock, 1960s) - anacrònix lyrics
- the music - amity lyrics
- 51st disciple - gang51e june lyrics
- каждое лето тоска - amny lyrics