lirik lagu riambez – mbogi genje
[intro: exray and smady tingz]
(big man ting, big man ting)
(badmon ting, badmon ting)
eh (mbogi genje)
taniua, eh
eh, ayaya
ati, ay
[verse 1: exray]
ni juu ya mzing saa hii niko ching*ching
lugha ya kimambo hadi niko jing*jing
nimenyanya, niko dim*dim
king king, matululu ting*ting
ah di badmon, niko ping*ping
wesh ako [?] juu ya dikwara
kabla nikuchai, nikupeleke na mtara
gwala gwala, zied, dala dala
gala gala wote watakudara
a*rap hii verse ndio usikie inna di rush
moment of silence, tuwashie shash
juzi walimuok na ati leo wamepasha
[chorus: guzman and smady tingz]
kuja mbaya nikugeuze mboga (mboga)
na nimebonda vile niko mogoka (niko)
machingri bado zinacheza kwa mongo
nakucheza mbaya ukizidi kutafash (tafash)
tuko nzakwa, wako shomwi (tuko nzakwa)
na mariambez wako mamoshi (stand up for the riambez)
tuko nzakwa, wako shomwi (tuko nzakwa)
na mariambez wako mamoshi (stand up for the)
[verse 2: smady tingz]
luku diriba, toja imenyokungira (ngira)
alele, leo kuserekwa pira (wako pira)
na machaji leo tuko maondira
makang’ethe ni manduki za mafila
shashola ndio siezi ishi bila
kaki*dim, nakiliet na warena (na warena)
wakichuom nawavutia mbegega (mbegega)
round hii, itabidi wameteveva (wameteveva)
[chorus: guzman and smady tingz]
kuja mbaya nikugeuze mboga (mboga)
na nimebonda vile niko mogoka (niko)
machingri bado zinacheza kwa mongo
nakucheza mbaya ukizidi kutafash (tafash)
tuko nzakwa, wako shomwi (tuko nzakwa)
na mariambez wako mamoshi (stand up for the riambez)
tuko nzakwa, wako shomwi (tuko nzakwa)
na mariambez wako mamoshi (stand up for the)
[verse 3: guzman]
look amilisha, zangu ni clean sheet
slippery, wanadai niko ma*grease
niko full*term, ongeza pace
hii watasema tumechaja na ni venye niko ganja
[?] ule mpapa
na ndio fisi hatari, tena sana
bila pressure kama puncture
mi m*hard kaa, “fuliza, we okoa”
beti na mahedi ziko kwa kebi
niko rampage za wikendi
kaa ni box, utazama bila expense
alialala lupita, usizundishie team
[chorus: guzman and smady tingz]
kuja mbaya nikugeuze mboga (mboga)
na nimebonda vile niko mogoka (niko)
machingri bado zinacheza kwa mongo
nakucheza mbaya ukizidi kutafash (tafash)
tuko nzakwa, wako shomwi (tuko nzakwa)
na mariambez wako mamoshi (stand up for the riambez)
tuko nzakwa, wako shomwi (tuko nzakwa)
na mariambez wako mamoshi (stand up for the)
[verse 4: militan]
kwa sinting, wacha tifla na maefla
wamemokre kwa malegi na mafozi
kidale, piga wapi na mandunya
mang’oi, kuwakata na manyoi (ng’oi)
waafisa wametambua maroko (roko)
matibien, mi huwatekesa maombling (ombling)
dimanga, ma*ghetto yout wanasofa
kwa jaja, wote tuko tu ital
jaba yu ni za kizing, ni za topa (proper tings!)
kunikibla na madibla (dibla)
[verse 5: exray]
uh, sina mbogi, [?] wote walikangwa
far east, morio anzenza alimangwa
[?] wako akini*diss
ess yu huwa dii hadi yeye alitii, ati
geng geng zako waku*beng sh*t
king king, wakiritho, [?]
[?]burn na makali
nganya huku area ni safari rally
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu spring king › lirik lagu radioactive – spring king
- kumpulan lirik lagu energy of the elements › lirik lagu follow me – energy of the elements
- kumpulan lirik lagu ian thomas › lirik lagu on me – ian thomas
- kumpulan lirik lagu sadness › lirik lagu opal vault – sadness
- kumpulan lirik lagu 909memphis › lirik lagu dyckman st. – 909memphis
- kumpulan lirik lagu syko ikonik › lirik lagu riri – syko & ikonik
- kumpulan lirik lagu pulpo negro › lirik lagu nómade – pulpo negro
- kumpulan lirik lagu μηδενιστής midenistis › lirik lagu πίνουμε marijuana – μηδενιστής (midenistis)
- kumpulan lirik lagu shy glizzy › lirik lagu vlone – shy glizzy
- kumpulan lirik lagu odz › lirik lagu ketamina ballerina – odz