lirik lagu 03. 3 disciples – mic gower
[intro mic gower]
yeah! its your boy gower
remission you know we got it
[verse 1 sir mbezi]
ningeweza kuwa mvuvi, maisha yangu kwenye maji
ila mungu kanitunuku, kwa kunipa hiki kipaji
sijafungua chapter, ndo kwanza niko dibaji
maneno ya kuwa hasa, tusiishi ili mradi
na good ndani kristo, good siogopi kifo
w-ngapi wamepotea, mie bado nipo
sababu niko nae, niko ambae niko
wanashangaa kitu gani, ninasema
hawajui nikifa leo, nitaishi tena
yaan zaid ya mbele, am forever young, coz ntaishi milele
sipotezi muda, mi so yuda disign
zaid ya , record deal kwa yesu nimesha sign
hakunaga jipya, teyari nimesha buy
ndo maana mi disiciple, niko safe niko fiiineee
ndo maana mi disiciple, niko safe niko fiiineee
[chorus d.m.y]
injili kwanza mengine yatafta
tushakula kiapo kwamba kristo tutamfta
3 disciples tuna run this town
[verse 2 mic gower]
nimeanza rap , mwanzoni kabla sijaokoka
sikudhani shetani kama nitamshinda
najua ilikua taff, ukiplas ma peer pressure
mambo mengii niliopata huru kweli skuitaka
dear christian, usione kama watu hapendi
maybe wapo kama wale, wanajali si vya msingi
unahitaji kuamini, na sijamaanisha dini
ni mungu alie hai, yule aliontoa mi gizani
sasa nimeokoka, wananiita mlokole
nashukuru kanipa rap, ili nitangaze injili
kanipa bonge la clique, nisije potea vumbuni
kwa umaarufu wa mziki , na tamaa za kimwili
nimejawa graceeee
mungu w-ngu mwanzo na mwisho
line zangu, life yangu
kukiri kw-ngu, ndo wokovu w-ngu
amenichange yesss
r4c, bado inachange mziki
r.i.p bongo fleva, mziki wa yesu winning team
amenifia msalabani, niogope msala gani
siku ya 3 kafuf-ka , shetani kw-ngu bye bye
shetani kw-ngu bye bye..
chorus
[verse 3 g stanna]
am a disciple jembe la bwana shamba mkulima
kwake mavuno ni mengi watendaji fanya hima
mi ni…shaanza lima…kwa mistari yenye vina
na jumbe zilizosheheni ukweli tena kwa kina
nilipotoka ni shida, giza totoro
full noma, miba, milima visa na makorongo
maisha ya msoto, maji moto, just sorrows
no kitanda…..usiku kucha mi na vigodoro
namfuata aliyeniokoa toka gizani
aliyenitoa kifoni na kunileta mi uzimani
anayenipa amani, furaha isiyo kifani
maji ya uzima fanya hima njoo kisimani
amenifanya chumvi, pia nanu
full mbawa kama tai bye bye ukunguru
nipo huru…nafwata nyayo zake bila udhuru
sina hofu coz yu nami even through the tanuru (g- stana)
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu trinidad james › lirik lagu ooooo child freestyle – trinidad james
- kumpulan lirik lagu the whip › lirik lagu secret weapon (alex metric remix) – the whip
- kumpulan lirik lagu the black opera › lirik lagu koon sh!t – the black opera
- kumpulan lirik lagu miguel araujo › lirik lagu desdita – miguel araújo
- kumpulan lirik lagu mentalites sons dangereux › lirik lagu un truc a dire – mentalités sons dangereux
- kumpulan lirik lagu mendi › lirik lagu nie mów mi – mendi
- kumpulan lirik lagu nemes › lirik lagu black streak – nemes
- kumpulan lirik lagu kendi › lirik lagu boogieman – kendi
- kumpulan lirik lagu magana › lirik lagu the world doesn’t know – magana
- kumpulan lirik lagu the beach boys › lirik lagu angel come home – the beach boys