
usemi sina - nandy lyrics
[verse 1 : nandy]
utadanganya kusema wengine huwawazi
ukweli ni kwamba wanaume mmeumbwa vichwa wazi
mpaka nakosa majibu
hili penzi lishachanganywa na wivu
mama kanifunza utulivu
ananinisitiza usikuvu, baby
[bridge : nandy]
sa kwanini nisitulie
mfano unaninyima nini ?
uko radhi we uuumie
furaha nipate mimi
[chorus : nandy]
usemi sina, sina, sina
cha kusema sina tena, usemi sina
usemi, sina, sina
usemi sina, usemi sina
cha kusema sina
[verse 2 : harmonize]
mapenzi ni maua
moyoni mw*ngu yanachanua
yalishawahi takaga kuniua
usishangae najishaua
nilipoteza hamu ya kula
ndo mana kila anachonipa nakula
iwe papa ama chura
nakula ndo kisha nakula
[bridge : harmonize]
sa kwanini nisitulie
mfano unaninyima nini ?
uko radhi we uuumie
furaha nipate mimi
[chorus : harmonize]
usemi sina, sina, sina
cha kusema sina tena, usemi sina
usemi, sina, sina
usemi sina, usemi sina
cha kusema sina
[outro]
it feels like i’m falling in move for the first time
i never seen love like this before
nakosa maneno
konde music worldwide
konde boy, call me number one
usemi sina
Random Song Lyrics :
- neymar à santos - ice proma lyrics
- lies - hash dale lyrics
- t-shirt - notsmrt lyrics
- star bright - 蝶々p (papiyon) lyrics
- baccarat suite - 451 lyrics
- first day - ian valle lyrics
- who do you give your heart to - connie scott lyrics
- you & i - tohma lyrics
- girasoles - fabiana cantilo lyrics
- all i see is you - pride of lions lyrics