usemi sina - nandy lyrics
[verse 1 : nandy]
utadanganya kusema wengine huwawazi
ukweli ni kwamba wanaume mmeumbwa vichwa wazi
mpaka nakosa majibu
hili penzi lishachanganywa na wivu
mama kanifunza utulivu
ananinisitiza usikuvu, baby
[bridge : nandy]
sa kwanini nisitulie
mfano unaninyima nini ?
uko radhi we uuumie
furaha nipate mimi
[chorus : nandy]
usemi sina, sina, sina
cha kusema sina tena, usemi sina
usemi, sina, sina
usemi sina, usemi sina
cha kusema sina
[verse 2 : harmonize]
mapenzi ni maua
moyoni mw*ngu yanachanua
yalishawahi takaga kuniua
usishangae najishaua
nilipoteza hamu ya kula
ndo mana kila anachonipa nakula
iwe papa ama chura
nakula ndo kisha nakula
[bridge : harmonize]
sa kwanini nisitulie
mfano unaninyima nini ?
uko radhi we uuumie
furaha nipate mimi
[chorus : harmonize]
usemi sina, sina, sina
cha kusema sina tena, usemi sina
usemi, sina, sina
usemi sina, usemi sina
cha kusema sina
[outro]
it feels like i’m falling in move for the first time
i never seen love like this before
nakosa maneno
konde music worldwide
konde boy, call me number one
usemi sina
Random Song Lyrics :
- fake - rudywade lyrics
- ni una menos (edición especial) - angela leiva lyrics
- 10000 hours (kookie violin duet) - omjamie lyrics
- canto e contraponto - toquinho, vinicius de moraes lyrics
- mein hund hat geburtstag - flouw lyrics
- apparitional void of failure - xasthur lyrics
- how i'm feelin - peezy lyrics
- white rappers be like - lil rama lyrics
- sweat - dylan reese lyrics
- arany közértpult - akkezdet phiai lyrics