lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu ice cream – noorah

Loading...

[intro: noorah]
(woo!)
you’re the kid that came to rap, right?
(yeah, toka shy*town)
uh*huh
the one and only
ni noorah a.k.a. babastylz (babastylz)
oh, yeah nipo na suma lee
muite roy ndani ya g*recordz
chemba squad
bwana ibra eh!
(yeah, utaipenda hii)

[verse 1: noorah]
akatizapo kila street midume yenyewe ita (?) (oh)
akikukata kijicho tu nikama anakuita eh (c’mon)
ooh…
ana wachengua matozi
mtotozi anayejua mapozi (oh)
hehe’ brother doo’s wenye viche*chede
misele mbele mbele ila doo ana cash’ kede
mnyamwezi nakula slide za kiujuzi
na kitu ni tiki tu kama staa kwenye movie (that’s right)
anadatisha, (aha)
ana katika (yeah)
miondoko ya ki*afrika, mwanaume ndio nafika eh (oh)
starehe ni ku*party nae, kiuno tu mi nabaki ho*he*ha*he
mambo ya ziggy ziggy za khadija za wizi wizi
habibi, leo uko na mimi situta jiggy jiggy?
no time’ all night, all time, all mine
nita all night, it’s all right
oh
[chorus: suma lee]
hey baby uko na shuzi la kukata
ndio maana ma bitozi wanadata
(?) zote natamani kukufuata
sababu una utamu kama ice cream
hey baby uko na shuzi la kukata
ndio maana ma bitozi wanadata
(?) zote natamani kukufuata
sababu una utamu kama ice cream

[verse 2: noorah]
katika, katika
nenda mpaka chini, rudi juu
(subiri kwanza)
is that the **@$$**
hakika wanifaa j*po tu kwa dakika
hey, girl you got a big fat **@$$**
super angel, super girl
vuta dough hii sio rusha roho (yeah)
aight doo, geuka, do like’ blue
na kisha’ ibuka juu (oh)
cheza mpaka nijihisi niko jamaica (uh huh)
zaidi ni kama naguswa na malaika (oh yeah)
chezesha kwa bidii ki namna hii, nijidai mpaka niguse thong au thigh
(what?)
tikisa tena, katika, katika
ma, umeng’aa ulivyojidabika dabika
ah, usione soo uko nami, usiulize wapi kati
ooh unavyo cheza una nidatisha datisha tonight ndani ya v.i.p
cheza na p.i.m.p., ni mi na p
basi nakuita, kasi katika
kiss na hug ndio nakwisha kabisa (what?)
[chorus: suma lee]
hey baby uko na shuzi la kukata
ndio maana ma bitozi wanadata
(?) zote natamani kukufuata
sababu una utamu kama ice cream
hey baby uko na shuzi la kukata
ndio maana ma bitozi wanadata
(?) zote natamani kukufuata
sababu una utamu kama ice cream

[drop]

[bridge: noorah & suma lee]
hapo’ twende
katika, katika
kata kiuno waseme huna mfupa, hoo oohh
okay, tena katika, katika
sio siri sifa zote mi nakupa, hoo oooh
eh*eh, hapo katika, katika
embu kwanza sogea karibu nami, njoo…
oh*oh, tena katika, katika
mimi sina mwingine zaidi yako, oooh…

[chorus: suma lee]
hey baby uko na shuzi la kukata
ndio maana ma bitozi wanadata
(?) zote natamani kukufuata
sababu una utamu kama ice cream
hey baby uko na shuzi la kukata
ndio maana ma bitozi wanadata
(?) zote natamani kukufuata
sababu una utamu kama ice cream
[outro: noorah]
haha
yeah
naitwa babastylz, (?) ha
yeah, niko na suma lee, uh
hii ndio chemba squad, yeah
g*square, roy (?)
ni g*records baby
shy*town
east zoo y’all

[instrumentals]

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...