lirik lagu amen remix – rapcha
Loading...
verse 1: {rapcha}
nilipohisi upweke kwenye moyo na mawazo kunichakaza
wanadamu nikawaomba msaada wakanitangaza
nikainua macho kwako, ukaniambia mwanangu nikabidhi shida
ukanifuta chozi nikanyamaza
sina cha kulaumu
neno lako ladumu
nikikuamini una rahisisha nnayoyaona magumu
umenipa muda mrefu wa kujaribu kujirekebisha na kutubu dhambi kabla haujanihuk*mu
kazi za dunia zinafanya nikusahau
na ninasahau kuwa we ndo unae nipa nguvu ya kuzifanya
lakini bado unanipenda sana
ungehesabu makosa yetu hakuna ambaye angebahatika kukuona
kukuamini inabidi
uliruhusu nif*kuzwe kazi ili unipe nzuri zaidi
unajua hamu niliyonayo ya kuiona pepo
nijalie nife kwenye imani ntapofika mwisho
amen
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu arham nor › lirik lagu ut i rommet – arham (nor)
- kumpulan lirik lagu d3adgrl › lirik lagu feeleverything,atthesametime – d3adgrl
- kumpulan lirik lagu dirtyspark › lirik lagu куш (kush) – dirtyspark
- kumpulan lirik lagu exexist › lirik lagu тирм (tirm) – exexist
- kumpulan lirik lagu lycos › lirik lagu villa – lycos
- kumpulan lirik lagu aj the one › lirik lagu nervous – aj, the one
- kumpulan lirik lagu faygo banks › lirik lagu 100 shots – faygo banks
- kumpulan lirik lagu ianj › lirik lagu holiday – ianj
- kumpulan lirik lagu бездарность bezdarnost › lirik lagu засыпай (sleep) – бездарность (bezdarnost)
- kumpulan lirik lagu knuckle deep › lirik lagu sorry sight (have you looked in the mirror lately – knuckle deep