lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu baby – rayvanny

Loading...

mwanzo nilijua upo msalani
kama sio uko utakuwa nyumba ya jirani
nikapiga simu yako haipatikani
ndio unapokea sa’ hivi mummy
upo sehemu gani

hata kama sijajibu naomba samahani
ile njaa ya tumboni imepanda mpaka kichwani
sijakuaga ila jua ndio nipo njiani
ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani
ningependa niwe na wewe, ila uko utumwani

inamaana umechoka sa mbona ni mapema
hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

ni kweli ndani kuna masufuria
chakula hakuna, nini nitakupikia
na kama tukipika basi bamia
kutwa nzima na njaa kama ngamia

nguzo ya upendo kusubiria
kwa nini unashindwa nivumilia
na mimi mbona ninakupigania
mummy rudi nyumbani, mola atajalia

aaah siwezi, kwa nini?
sirudi, sababu gani?
siwezi, aaah
sirudi

nguo zangu zilivyochoka kama tambala ya deki
zimetoboka unaweza kusema net
huishi madeni, dukani kwa mangi mpaka bank
na ukirudi nyumbani, mf*koni huna cent

anapanga mola, kupata kukosa ridhiki
akinipa nashukuru na kama nikikosa sibishi
kwenye swala la mapenzi, mali si kitu iyoo
kwenye mapenzi, moyo kioa kitu iyoo

inamaana umechoka sa mbona ni mapema
hizo shida zimechosha ntazeeka mapema

ni kweli ndani kuna masufuria
chakula hakuna, nini nitakupikia
na kama tukipika basi bamia
kutwa nzima na njaa kama ngamia

nguzo ya upendo kusubiria
kwa nini unashindwa nivumilia
na mimi mbona ninakupigania
mummy rudi nyumbani, mola atajalia
aaah siwеzi, kwa nini?
sirudi, sababu gani?
siwezi, aaah
sirudi

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...