lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu nipigie – rayvanny

Loading...

kama itatokea siku, utanimiss mie
namba yangu ile ile naomba unipigie
kama umepata muda unitembelee
si kwa ubaya ila, hali tu unijulie

vita vya ukimya tuliopigana mimi na wewe
nimekiri nimeshindwa mimi bado ni yule yule
uliugusa moyo w*ngu nakuleta tofauti pale
kwenye kapu langu la hisia nafasi nyingine unipatie
ooh, hakuna wakulijaza pengo lakooo
moyo mtima unatamani pendo lako
nipendwapo napajua ndio maana napajali
maumivu yako nayatambua nimechoka kuwa mbali
na k*miss k*miss honey wewe
sio rahisi rahisi kuwa mwenyewe

nipigie nipigie
nipigie nipigie
nipigie hata kidogo nikusalimie
nipigie nipigie
nipigie nipigie
nipigie j*po hali nikujuliе

kama ukipata muda
sauti yangu uisikie
msimamo w*ngu ule ule
kisa au sеma nirudie
kama ukipata wasaa usinizungumzie
si ulipata wengine mie niache usinifikirie
sura yako maridhawa umeizalilisha
kwa tabia yako
niache niache baki peke yako
moyo w*ngu umeugawa umenihuzunisha
basi fanya yako
niache niache mwana wa mwenzako
kwani nilikupenda kwa dhati
nikaapa sikuachi mtoto ulo smart
penzi lis’o na bahati limefika tamati
sa’ nahesabu mabati
maadui kindakindaki umewapa nafasi
sa’ wananidhihaki
upendo umekaangwa chapati
ushaunguza basi kuwa nawe sitaki
niaaacheee

nipigie nipigie
nipigie nipigie
nipigie hata kidogo nikusalimie
nipigie nipigie
nipigie nipigie
nipigie j*po hali nikujulie

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...