lirik lagu facebook – rose muhando
huyu anae kuja sasa ajiunge nasi
ni malikiya wa muziki tanzania na afican
si wengine bali ni rose muhando
facebook facebook, twitter amekuwa mungu wa kanisa la leo
facebook facebook twitter amekuwa akimu wa kanina la leo
facebook facebook twitter amekuwa mfalme wa ulimwengu wa lelo
facebook facebook twitter ni kijaa kamili kwa kizazi tcha leo
eh eh*h*h*h*h*h, eh*h*h
yo yo yo jamani
eh iye ye yi uzuni, oh oh uh oh machozi
kuna balaa kubwa nililoliona mimi chini ya jua
kuna balaa kubwa nililoliona chini ya jua
kuna balaa jipia limeshuka jamani chini ya jua
eti, facebook wamekuwa mungu kwa kanisa la leo,ni ajabu sana
twitter amekuwa akimu kwa kanisa la leo ni ajabu sana
ajabu sana, ajabu sana, ajabu sana, ajabu sana
angalia sasa wewe mwana, kanisa lako li katika hali mbaya
watu wako wamekuwa mateka hawajui pa kwenda ni kama upepo
wakiristo wamekuwa wajinga hawajui nyakati za kujiliwa kwao
wachungaji wamekosa ekima kutowa maamzi ya matatizo yao
eti facebook facebook, twitter amekuwa mungu kwa kanisa la leo
facebook facebook twitter amekuwa akimu wa matatizo yao
facebook facebook twitter amekuwa mungu kwa kanisa la leo
hivi nani aliyewaloga? (ni utanda wasi)
aibu? (ni utanda wasi)
nasema nani aliyewaloga? (ni utanda wasi)
amani (utanda wasi)
wameacha majuk*mu (eti, wanachat)
jamani (eti wanachat)
wameacha k*mtafuta mungu, (kisha wanachat)
ahibu, (eti wanachat)
wana sahau kufanya maombi (kisha wachat)
jamani (eti wanachat)
hakika wana tiya ayibu (eti wanachat)
nasema (eti wanachat)
wame acha k*mtafuta mungu (kisha wanachat)
jamani (eti wana chat)
wana jiacha kwenye mitandao (kisha wanachat)
ayibu (eti wanachat)
wasitchana wame aribika (eti wanachat)
jamani (eti wanachat)
wanatchelewa kwenye masomo (kisha wanachat)
ayibu (eti wanachat)
wanafunzi wame fail mitihani (kisha wanachat)
jamani (eti wanachat)
wanafunzi wana fail mitihani (eti wanachat)
ayibu (eti wanachat)
wafanya kazi watchelewa kazini (kisha wanachat)
jamani (eti wanachat)
wadereva wana sababisha ajali (kisha wanachat)
jamani (eti wanachat)
ascari ame sababisha ajali (eti wanachat)
jamani (eti wanachat)
oh oh (kisha wanachat)
jamani (eti wanachat)
eh eh (kisha wanchat)
jamani (eti wanachat)
ona ndoa nyingi zimesha vunjika (eti wanachat)
jamani (eti wanachat)
wengine wana zua zua (kisha wanachat)
jamani (eti wanachat)
mwengine ame tchelewa kazini (kisha wanachat)
jamani (eti wanachat)
eh eh (eti wanachat)
jamani (eti wanachat)
africa wame kosa ayibu (kisha wanachat)
jamani (eti wanachat)
wana sahau kufanya maombi (kisha wanachat)
tazama (eti wanachat)
wana jiachakwenye mitatandao (eti mwanachat)
jamani (eti wanachat)
ndoa nyingi sasa zimesha vunjika (kisha wanchat)
ayibu (eti wanachat)
wana jiachakwenye mitatandao (kisha mwanachat)
jamani (eti wanachat)
mwengi ametchelewa mungeni (eti wanachat)
jamani (eti wanachat)
wana angaika kutowa odja (kisha wanachat)
ayibu (eti wanachat)
wana sinziya wakiwa mgeni (kisha wanachat)
jamani (eti wanachat)
nasema (kisha wanachat)
ayibu
madakitari wame sababisha vifo (eti wanachat)
jamani (eti wanachat)
wajinga hawa somi neno (kisha wanachat)
mwezangu (eti wanachat)
wana sahahu kufanya maombi (kisha wanachat)
nasema (eti wanchat)
eh*h*h (kisha wanachat)
jamani (eti wanachat)
facebook facebook, twitter amekuwa mungu wa kanisa la leo
facebook facebook twitter amekuwa akimu wa kanina la leo
facebook facebook twitter amekuwa mfalme wa ulimwengu wa lelo
facebook facebook twitter ni kijaa kamili kwa kizazi tcha leo
wanadamu wamechanganikiwa hawa juiwi mpa kwenda ni kama upepo
wame kuwa niwendawazimu vichawi wame logua na utandawazi
wana ndoa wame changanyikiwa wana andika ayibu ya mambo yaho ya ndani
kweli facebook facebook, twitter amekuwa mungu wa kanisa la leo
k*mbe facebook facebook, twitter amekuwa ayibu ya matatizo yaho
hivi nani aliyewaloga? (ni utanda wasi)
aibu? (ni utanda wasi)
nasema nani aliyewaloga? (ni utanda wasi)
amani? (utanda wasi)
ata wale wameacha majuk*mu (eti wanachat)
facebook facebook, twitter amekuwa mungu wa kanisa la leo
facebook facebook twitter amekuwa akimu wa kanina la leo
facebook facebook twitter amekuwa mfalme wa ulimwengu wa lelo
facebook facebook twitter ni kijaa kamili kwa kizazi tcha leo
wasa wasa (don′t com) wasa
wasa wasa (kizazi tcha nyoka don’t com) wasa (eti kizazi tcha don′t com)
wasa wasa wasa
wasa wasa wasa
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu gianfranco molle › lirik lagu pablo – gianfranco molle
- kumpulan lirik lagu karim › lirik lagu raison – karim
- kumpulan lirik lagu the long afternoon › lirik lagu lowest common – the long afternoon
- kumpulan lirik lagu stray kids › lirik lagu 그림자도 빛이 있어야 존재 (behind the light) (romanization) – stray kids
- kumpulan lirik lagu the black skirts › lirik lagu powder blue – the black skirts
- kumpulan lirik lagu kopps › lirik lagu planet bitch – kopps
- kumpulan lirik lagu agent rapper › lirik lagu embers – agent (rapper)
- kumpulan lirik lagu rtz return to zero › lirik lagu face the music – rtz (return to zero)
- kumpulan lirik lagu lava creations › lirik lagu undone, unsaid – lava creations
- kumpulan lirik lagu basshunter › lirik lagu all i ever wanted (2-4 grooves remix) – basshunter