lirik lagu acha wee taarab – sabah salum
acha wee taarab lyrics
utapanda na kushuka na watu kunitumia
utapanda na kushuka na watu kunitumia
bure utafedheheka na aibu kujitia
bure utafedheheka na aibu kujitia
najuwa najuwa unanitaka moyoni
moyoni unaumia
najuwa najuwa unanitaka moyoni
moyoni unaumia
ukweli w*ngu hakika
ukweli w*ngu hakika
ukweli w*ngu hakika
wewe hujanivutia
acha wee acha wee acha wee
suti gani nazo za kuazimisha
acha wee acha wee acha wee
nayako mabobish yananichekesha
acha wee acha wee acha wee
huishi mitaani unajitakisha
acha wee acha wee acha wee
akutake nani k*mkorofisha
unakoroga najua, nawatu wameshakushuku
unakoroga najua, nawatu wameshakushuku
bure unajisumbua, kujivunjia sharafu
bure unajisumbua, kujivunjia sharafu
yuko yuko anaeniuwa
mwenye mwenye njema insafu
aaah yuko yuko anaeniuwa
mwenye mwenye njema insafu
roho anaenitoa
roho anaenitoa
roho anaenitoa
roho anaenitoa
kwake yeye hufui dafu
acha wee acha wee acha wee
suti gani nazo za kuazimisha
acha wee acha wee acha wee
nayako mabobish yananichekesha
acha wee acha wee acha wee
huishi mitaani unajitakisha
acha wee acha wee acha wee
akutake nani k*mkorofisha
bure unajivalisha masuti yenye thamani
bure unajivalisha masuti yenye thamani
nyengine waazimisha kurandia mitaani
nyengine waazimisha kurandia mitaani
hima hima unajitakisha
asubuhi asubuhi na jioni
hima hima unajitakisha
asubuhi asubuhi na jioni
ni kachara umekwisha
ni kachara umekwisha
ni kachara umekwisha
ni kachara umekwisha
hunifai asilani
acha wee acha wee acha wee
suti gani nazo za kuazimisha
acha wee acha wee acha wee
nayako mabobish yananichekesha
acha wee acha wee acha wee
huishi mitaani unajitakisha
acha wee acha wee acha wee
akutake nani k*mkorofisha
mimi ninaemtaka sharti awe dogodogo
mimi ninaemtaka sharti awe dogodogo
anotizamika na fedha j*po kidogoo
anotizamika na fedha j*po kidogoo
huniwezi huniwezi si dhihaka
huiwezi huiwezi mititigo
usinivishe cha ukoka
usinivishe cha ukoka
usinivishe cha ukoka
usinivishe cha ukoka
kilemba bwana mdogo
acha wee acha wee acha wee
suti gani nazo za kuazimisha
acha wee acha wee acha wee
nayako mabobish yananichekesha
acha wee acha wee acha wee
huishi mitaani unajitakisha
acha wee acha wee acha wee
akutake nani k*mkorofisha
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu tattootwon › lirik lagu ayao – tattootwon
- kumpulan lirik lagu sound of a smirk › lirik lagu headache – sound of a smirk
- kumpulan lirik lagu faith evans › lirik lagu ela – faith evans
- kumpulan lirik lagu pluffaduff › lirik lagu crazy fred – pluffaduff
- kumpulan lirik lagu vincint › lirik lagu all over again – vincint
- kumpulan lirik lagu coto yb kevin hozez › lirik lagu en la mira – coto yb & kevin hozez
- kumpulan lirik lagu hidra › lirik lagu zorla freestyle serisi 2 – hidra
- kumpulan lirik lagu priscila carolynne › lirik lagu não te esqueci – priscila carolynne
- kumpulan lirik lagu mk xyz › lirik lagu she knows – mk xyz
- kumpulan lirik lagu mercure roots t › lirik lagu process – mercure & roots t