lirik lagu kuliko jana – sauti sol
[chorus]
bwana ni mwokozi w*ngu
tena ni kiongozi w*ngu
ananipenda leo kuliko jana
baraka zake hazikwishi
si kama binadamu habadiliki
ananipenda leo kuliko jana
kuliko jana
kuliko jana
yesu nipende leo kuliko jana
kuliko jana
kuliko jana
yesu nipende leo kuliko jana
[verse 1]
nakuomba mungu uwasamehe
w*ngalijua jinsi unavyonipenda mimi wasingenisema
na maadui w*ngu nawaombea maisha marefu
wazidi kuona ukinibariki
ujue binadamu ni watu wa ajabu sana
walimkana yesu mara tatu kabla jogoo kuwika
ujue binadamu ni watu wa ajabu sana
walimsulubisha yesu messiah bila kusita
ooh, na
[chorus]
bwana ni mwokozi w*ngu
tena ni kiongozi w*ngu
ananipenda leo kuliko jana
baraka zake hazikwishi
si kama binadamu habadiliki
ananipenda leo kuliko jana
kuliko jana
kuliko jana
yesu nipende leo kuliko jana
kuliko jana
kuliko jana
yesu nipende leo kuliko jana
[bridge]
wewe ndio nategemea
kufa kupona baba nakutegemea (amen)
chochote kitanikatsia
kuingia mbinguni utaniondolea (ooh*ooh, yeah)
wewe ndio nategemea (amen)
kufa kupona baba nakutegemea (oh*oh)
chochote kitanikatsia
kuingia mbinguni utaniondolea (eh, wewe ndio nategemea)
wewe ndio nategemea
kufa kupona baba nakutegemea (eh, bwana)
chochote kitanikatsia
kuingia mbinguni utaniondolea (eh, maisha yangu yote)
wewe ndio nategemea (kwa nguvu zangu zote)
kufa kupona baba nakutegemea (nakutegemea)
chochote kitanikatsia
kuingia mbinguni utaniondolea (oh*oh*oh*oh)
[chorus]
na bwana ni mwokozi w*ngu
na tena ni mkombozi w*ngu
ananipenda leo kuliko jana
baraka zake hazikwishi
si kama binadamu habadiliki
ananipenda leo kuliko jana
kuliko jana (kuliko jana)
kuliko jana
yesu nipende leo kuliko jana
kuliko jana (kuliko jana)
kuliko jana (kuliko jana)
yesu nipende leo kuliko jana
[outro]
wewe ndio nategemea (wewe)
kufa kupona baba nakutegemea (wewe)
chochote kitanikatsia (uh*huh)
kuingia mbinguni utaniondolea
wewe ndio nategemea (ooh)
kufa kupona baba nakutegemea (nakutegemea)
chochote kitanikatsia
kuingia mbinguni utaniondolea
na bwana ni mwokozi w*ngu (amen)
tena ni mkombozi w*ngu (amen)
ananipenda leo kuliko jana (amen)
baraka zake hazikwishi (amen)
si kama binadamu habadiliki (amen)
ananipenda leo kuliko jana (amen)
kuliko jana
kuliko jana
nipende leo kuliko jana
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu tyler gilbert › lirik lagu stop me – tyler gilbert
- kumpulan lirik lagu don toliver › lirik lagu private landing (acapella) – don toliver
- kumpulan lirik lagu kill4eal ydb › lirik lagu нхбб (snippet) – kill4eal, ydb
- kumpulan lirik lagu ania karwan grzech piotrowski › lirik lagu ostatni raz – ania karwan & grzech piotrowski
- kumpulan lirik lagu kuumaa › lirik lagu äijä – kuumaa
- kumpulan lirik lagu dimv › lirik lagu ceo – dimv
- kumpulan lirik lagu juyo › lirik lagu не причем (nothing to do with) – juyo
- kumpulan lirik lagu perdenin ardindakiler › lirik lagu dua – perdenin ardındakiler
- kumpulan lirik lagu rough diamond uk › lirik lagu hobo – rough diamond (uk)
- kumpulan lirik lagu aaryan shah › lirik lagu isolation [bonus] (slowed + reverb) – aaryan shah