lirik lagu mama – slimsuma
verse
kwanza nakupenda, hili naweka wazi, nimekuweka kwenye moyo, umeijaza nafasi, i know that you love me hilo sina wasi, nakosea unasamehe then you play nice
sijui nikupe nini kufidia mama, maana sioni cha kukupa, vyote havina maana, toka utoto umenilea nimesumbua sana, angekuwa mwingine ile kitambo angeshanipa laana
kila siku namshukuru mungu aliye juu, j*po nipo mbali ila mama i miss you, toka mtoto hadi sasa still i need you, uishi milele mama ndio kitu i wish to
nak*mbuka tabu zote ulizopata mama, sio tabu ndogo nak*mbuka uliteseka sana, ulinipa moyo pale nilipojiona sina maana, hadi kazi mbaya ili nile mama yangu ulifanya
bridge
wewe super woman mama ni wewe. ×4
chorus
malaika nakupenda malaika, mama ni malaika nakupenda malaika. ×2
malaika nakupenda malaika. ×7
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu veno da don › lirik lagu split it – veno da don
- kumpulan lirik lagu bugatti beez › lirik lagu million – bugatti beez
- kumpulan lirik lagu lee moon se › lirik lagu sunset glow – lee moon se
- kumpulan lirik lagu hakim rapper › lirik lagu reminder – hakim (rapper)
- kumpulan lirik lagu cousin tonys brand new firebird › lirik lagu transient – cousin tony’s brand new firebird
- kumpulan lirik lagu yampb › lirik lagu not afraid to die – yampb
- kumpulan lirik lagu loveboy › lirik lagu distant – loveboy
- kumpulan lirik lagu элджей eldzhey › lirik lagu suzuki – элджей (eldzhey)
- kumpulan lirik lagu wifisfuneral › lirik lagu plaque* – wifisfuneral
- kumpulan lirik lagu pieta brown › lirik lagu prayer of roses – pieta brown