lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu wakiridho rawstyle. – tawala.

Loading...

i’m doing my thing and yes i do it big
in case you wondering yes my thing is big
i’m trying not to lose, that’s my strategy to win
skiza how i turn this booth into a boxing ring

kijana una munchies mimi nina njaa
ndo maana kila beat naifanya vile inafaa
washajua joh me siwaekangi na shore akidai ku cum joh me simwekangi
manze it’s that time of the month
pesa inanipee b*tterflies kwa tummy p*ssy inanipea ma moth
name your price kila mtu anaself worth
kama kuna kitu fake kwa mwili pima na net worth
kijana skinny but akili imestunya
umaskini ni excuse ya kuuza punya
kwa msanii hakunanga kitu gwan kaa rumor
kijana alitupa mbao joh akabuy mchuma

kaa haw*ngeniambia get lost singe learn the way
hakunanga mtu ame marry game wengi wao ni come we stay
shots unbelievable ka protеstors kuuliwa na bullet stray
they sell mе out coz the sh*t i do is pricey
kw*ngu ni rais kwa rap me ni prezi
nawaibia mafans si mnajua gova no wezi
ukitaka kujua tulifanya nini na yeye ngoja mwisho was mwezi

nime come kuingia industry sija come kuwaingilia
unless i run into you siwezi kukukimbilia
i guess me navuma juu nilivumilia
zikashinda zimeshika juu hakuna mtu alinishikilia
nilipeleka marijuana science congress
nilipata malaya ndani ya convent
go ahead punguza age ya consent
not a product of the system but i still trust the process
sina jeshi lakini nimeji army
naspit sheng na kilami
sikuauki nimekamia usukani
me and my girl we still tight like her punani
music is my dream na ni kitambo niliota
cha mvunguni nikachukua mkiwa mmekaokota
dem anadhani nina kazi yake k*mbe me so hire
na mtaa tukiona maya si hukanyaga ka malaya

usinipende me napenda ngwai(×3)

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...