lirik lagu why me – timmy tdat
msaka tonge niko streeti, naisaka doh
ndo naanza mziki na bado sij*pata show
niliambiwa kuwa elimu ni ufunguo
mbona nimesoma, au niliyo nayo si ya mlango huo
huh, popote n*z*saka chambi
shida zingejenga mwili ningeota kitambi
madada wa kitaa wanaona nyea kambi
utawasikia, mwizi bwana gani huyo mvuta bangi
hawa mabeste waafrika
kuitwa kuigiza maisha feki huko insta
chapaa naitafuta ila bado haijalipa
nimiliki manzee msupa kama vera sidika
why me, why me, why me
kila nachofanya kinakuwa zogo
why me, why me, why me
napambana wala si kidogo
why me, why me, why me
ata marafiki wamekuwa mbogo
why me, why me, why me
why me, why me, why me
yeah, sina fare toka inda natembea
nina mkidi home natry k*mlea
mathe pia, haezi tembea
huh, mi na shida tushakuwa kama pair
napiga chuom nakutana na afande
shili nyamwa anataka tu kipande
sina phone manze sina hata kabambе
nitawaambiaje home leo nalala rumandе
ni ati tunataka hizo brand new car
wacha kutujudge na vile si hukaa
tulisha reform tulibadilika
tupatie chance tukajenge jina
why me, why me, why me
kila nachofanya kinakuwa zogo
why me, why me, why me
napambana wala si kidogo
why me, why me, why me
ata marafiki wamekuwa mbogo
why me, why me, why me
why me, why me, why me
huh faraja ndo after dhiki
ya daraja sipitiki
kabla ata saa mbili
wanasemaga ni sisi
ukimwaga jasho alafu upate doh
hiyo ni mori
ukihustle hadi ukate moyo
hiyo ni ngori
nimeacha pang’ang’a na napambana nang’ang’ana
maana, hawa mbang’a washenzi sana
bado nahustle sij*pata doh
namwaga jasho ka gorocho kariakor
aaah eeh, namwomba mo*la
promoter apige simu za show
salary ndo inaleta temptation
na makarao wana bado wanataka attention
so tafuta kasabuni, ukaspend bunda kitaa bamba
na mbio za sakafuni sio za punda
why me, why me, why me
kila nachofanya kinakuwa zogo
why me, why me, why me
napambana wala si kidogo
why me, why me, why me
ata marafiki wamekuwa mbogo
why me, why me, why me
why me, why me, why me
vicky pon this
kila nachofanya kinakuwa zogo
napambana wala si kidogo
why me, why me, why me
kila nachofanya kinakuwa zogo
why me, why me, why me
napambana wala si kidogo
why me, why me, why me
ata marafiki wamekuwa mbogo
why me, why me, why me
why me, why me, why me
kila nachofanya kinakuwa zogo
napambana wala si kidogo
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu okasian › lirik lagu walkin (remix) – okasian
- kumpulan lirik lagu cate le bon › lirik lagu find me – cate le bon
- kumpulan lirik lagu jay rukas › lirik lagu america – jay rukas
- kumpulan lirik lagu quangou › lirik lagu lakeside view – quangou
- kumpulan lirik lagu 600breezy › lirik lagu bullshit – 600breezy
- kumpulan lirik lagu ninoh santana › lirik lagu nocturne – ninoh santana
- kumpulan lirik lagu mat4yo › lirik lagu oxymoron – mat4yo
- kumpulan lirik lagu jah9 › lirik lagu revolution lullaby (showers of blessings) – jah9
- kumpulan lirik lagu rahrah the savage › lirik lagu by the light of the sun – rahrah the savage
- kumpulan lirik lagu bent van looy › lirik lagu wind is blowing – bent van looy