lirik lagu twamsifu – ukhty dyda
twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia
(twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia)
twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia
(twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia)
wallah twasikitika, muhammad kututoka
jamii ya dhalilika, اخيل الصباح
wallah twasikitika, muhammad kututoka
jamii ya dhalilika, اخيل الصباح
sisi sote tul’o hapa, tw*tarajia baraka
kwanini waja twasita k*mswalia?
twamsifu msifika, mohamad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia
hushangazwa na uuma, baadhi kutusakama
eti tunalolifanya tumelizua
hushangazwa na uuma, baadhi kutusakama
eti tunalolifanya tumelizua
an’okadiria allah, malipo tw*tarajia
tusiache mswalia, tumonadhiria
mwisho nauhasa umma, tusimame sote hima
aswaliwe wetu bwana muhammad ya
mwisho nauhasa umma, tusimame sote hima
aswaliwe wetu bwana muhammad ya
hidaya twaendelea, k*msifu ye nabiya
ah bila yeye tungekuwa gizani piya
twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia
(twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia)
twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia
(twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
sifa zake nyingi sana (hadii bana)
mtume wetu heshima (hadii bana)
twapambika sifa njema (hadii bana)
kwa raha bila karaha (habibi)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
twamsifia hashima (hadii bana)
kipanzi chake karima (hadii bana)
kwa sifa kila aina (hadii bana)
twajivunia mtumwa mwema (leo)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
‘sikitika (hadii bana)
mohamad kututoka (hadii bana)
jamii ya dhalilika (hadii bana)
umma unateketa ah
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
sisi sote tulio hapa (hadii bana)
twaomba maji ya baraka (hadii bana)
kwanini waja twasita (hadii bana)
kwa huzuni *n*lia habibi
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
hushangazwa na uumwa (hadii bana)
na radhi hutusakama (hadii bana)
lolote tunalolifanya (hadii bana)
tumelizua yatima jamani
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
anakadiria allah (hadii bana)
malipo tw*tarajia (hadii bana)
tusiache mswalia (hadii bana)
tuwe muhashimia habibi
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
hidaya twaendea (hadii bana)
k*msifu mnabiya (hadii bana)
bila yeye tungekuwa (hadii bana)
giza tungejionea habibi
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
masha allah
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu j ax › lirik lagu l’uomo col cappello (live @ blue note) – j-ax
- kumpulan lirik lagu kate pierson › lirik lagu matrix – kate pierson
- kumpulan lirik lagu jp fuego › lirik lagu plug walk (re-up) – jp fuego
- kumpulan lirik lagu warcry › lirik lagu todo es infierno – warcry
- kumpulan lirik lagu charlie shafter › lirik lagu leave her wild – charlie shafter
- kumpulan lirik lagu ben fairey › lirik lagu aygm – ben fairey
- kumpulan lirik lagu justin stone › lirik lagu champagne – justin stone
- kumpulan lirik lagu 실키보이즈 silkybois › lirik lagu hop on – 실키보이즈 (silkybois)
- kumpulan lirik lagu lio › lirik lagu l’objet du litige – lio
- kumpulan lirik lagu big baller b › lirik lagu club banger – big baller b