lirikcinta.com
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu inachuna – vdj jones

Loading...

vdj jones, si unajua ni genje ni mbwaya
mavo on the beat…

ati, ni hatari
vile an*z*toka odinary
ni hatari
mi najua hatari ati

ah inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
inachuna, tena sana inachuna
ati, inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
inachuna, tena sana inachuna ati

ukiskia juacali, we jua kunachuna
ukiskia beat ya mavo jua inachuna
bado meno iko vunja mfupa
bado tembo ziko vunja chupa

haribu mtu w*ngu we mezesha
usiku changa we serereka
shisha iko changanya ketepa
round ya pili inakuja we pewa

kunja mtu gizani kisawasawa
mk*mbushe hii chuma ni ya pawa
na kwa wale wanasumbua kwa sana
lazima wajue hii kutu inachuna
ah inachuma, kutu kwenye chuma inachuna
inachuna, twende sana inachuna
ati, inachuma, kutu kwenye chuma inachuna
inachuna, twende sana inachuna ati

[bussa j]
inachuna jaba natafuna
inachuna naskia kujikuna
inachuna, inagonga
nawaroga nikibonga

peng ting nakatia
peng ting napitia
zimeshika mi nadai tu mabeer
zikishika chora saba nadandia

[seska]
huku ukitembеa na nare ni ka kipande
afande sina kipandе niko na omo
mgenjiko toa kwa zabe ni ka ni somo
mkwela kama ni kware sindai ngono

mbasu wa heavy ju ndani walevi
mapeddy mathegi na bado mavedi
namedi na hedi na kando makeki
nakata makeki ni ka ni bash tei la
ah inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
inachuna, tena sana inachuna
ati, inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
inachuna, tena sana inachuna ati

[cityboy]
inachuna
nilipanda veve shash ndo nilivuna
still na kakiwashwa na kikikuna
na kako chonjo konjo conjestina
yeah yeah yeah yeah noma sana

umejaza uzigo
so rewind mitindo
fisi kwa miwindo
nyapia mipindo

ila city naikuna
sio kizalendo
na kakuta nakabless
ila si kufyeko

romance nakapigia nyambizizi
mapenzi juu nimetokea uswazizi
sweet kama kameshikiaga eazy
nakapekenya kanacheka kwikwikwi
ah inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
inachuna, tena sana inachuna
ati, inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
inachuna, tena sana inachuna ati

[psycho]
mi hukata kuchapa ni kama randa
ukinipa ni rubber na kuk*manga
daily mangata mafans venye nawamada
ni kama airtime venye mimi nawabamba

nakupa shot sita bora we uchore saba
kwa kiti, kwa meza hadi kwa kitanda
mi si worker but nitakulima kama shamba
kama passa passa iano nicheze na hiyo diaba

[vuva]
inachuna, ni vuva vuva
niko bumper ukikwama nasuk*ma
mi najituma hakuna dumba
nitakula kubwa mi ka olunga

mbogi mbaya tukipull*up mnatii
si kwa charts si ndo 1, 2, 3
tunawapiga piga buti kama booker t
si ndo huchafua vida hadi mp3

ah inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
inachuna, tena sana inachuna
ati, inachuna, kutu kwenye chuma inachuna
inachuna, tena sana inachuna ati

[dulla]
mihadare jo ako jaba
niko giso niko murambe
lazima itubambe we wa shada ama ngale
pass hiyo pass sisi mapapa si mafathe

gwas ni ya warasta na rizna jo ni za warasta
mambota piga snapchat, tin piga pass
chota mzinga bila glass
tutazima tu kwa class

kwenye suti ni matrust
kwenye pori ni ki trust
nikibleki niraukie hosi
jo nisuke nurse

vdj jones bila pause
kila mtu on toes
si unajua ni genje
genje ni mbaya

kwa ground vitu ni fire
itabaki unagwayaa
hahahaha the superstar dj

lirik lagu lainnya :

YANG LAGI NGE-TRENDS...

Loading...