lirik lagu penzi sumu – victoria gichora
verse 1:
kama ni kuthibitisha penzi langu kwako
si hoja
sheria nimevunja zote
au hizi hisia tutupilie mbali
ni mara
ngapi tumeshajaribu
or maybe wa faa uwache kiwa kipofu
twashikilia mwisho wa kamba
tuwache huu mchezo
uamuzi ni wako
sema nami… baby..
chorus:
nikuote nikuwaze nijone rohi utajuta songa mbele
lakini ni kikuona ninashindwa naumia roho kweli utajuta yote.
nazama
kwenye penzi nataka
sipati nione me mnyonge hapa
nakuhitaji
uniambie hii kazi si ya bure
verse 2:
kama ni maongeo ya wasiotuhusu lazima mitihani zije
niambie tu kinachokuzia uwe w-ngu
nitaipiganie penzi
or maaybee..wafaa ufungue macho uone
hakuna chaweza kuzuia
penzi ni letu na wakati ni wetu
sema nami baby….
chorus:
bridge:
ni mimi na wewe..
na ni wewe nataka
niamini sitakuacha,noo! baby..
nikuoneshe vipi
siniache mimi hapa nikiugua
nikiumia..
sema nami baaaby…
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu hvob › lirik lagu capture casa – hvob
- kumpulan lirik lagu tedisaster › lirik lagu n-ai sta – tedisaster
- kumpulan lirik lagu chxrl › lirik lagu normal – chxrl
- kumpulan lirik lagu bo x › lirik lagu butttt – bo$ x
- kumpulan lirik lagu fare › lirik lagu bad dream, can’t sleep – fare
- kumpulan lirik lagu meresha › lirik lagu hawai’i – meresha
- kumpulan lirik lagu vanja muhovic › lirik lagu zaplakala šećer đula – vanja muhović
- kumpulan lirik lagu the jacksons › lirik lagu that’s what you get (for being polite) (12″ version) – the jacksons
- kumpulan lirik lagu sht › lirik lagu labirent – sh!t
- kumpulan lirik lagu убей меня эйс kill me ace › lirik lagu я-вы (i am you) – убей меня, эйс! (kill me, ace!)