lirik lagu bongo bahati mbaya – young daresalama
it’s another one (it’s another one) woo!
yah, touch (touch)
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
maisha ndo’ haya haya, sa’ nitaenda wapi?
bongo bahati mbaya hollywood yetu masaki
usishangae natamba a’fu wewe hauna chambi
mi’ mwembamba ila napiga show za kitambi
bongo bahati mbaya
bongo bahati mbaya
bongo bahati mbaya
karibu ulaya
bongo bahati mbaya
bongo bahati mbaya
bongo babati mbaya
karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya (yeah)
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya (yeah)
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
wanaogopa kusema hii kama mbele
ila hapa ndo nyumbani napiga misele
wanaogopa kusepa hapa haina kwere
ila hapa ndo nyumbani siogopi maseke
a’fu mi’ mnyamwezi uliopoteza passpoti
niko bongo bahati mbaya tu unyamwezi sio wa kufosi
ukiniona kama tozi, niunguse nije na kikosi (bra)
nimepiga pamba a’fu sio za kukodi (oyi)
bongo bahati mbaya
bongo bahati mbaya
bongo bahati mbaya
karibu ulaya
bongo bahati mbaya
bongo bahati mbaya
bongo babati mbaya
karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya (yeah)
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya (yeah)
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
haijalishi niko wapi, lazima niko happy
hata nikiwa tu mwenyewe au niko na washikaji
haijalishi niko wapi, lazima niwe msafi
niko bongo bahati mbaya, ila ndo ‘ivo ntakwenda wapi
haijalishi niko wapi, lazima niko happy
hata nikiwa tu mwenyewe au niko na washikaji
haijalishi niko wapi, lazima niwe msafi
niko bongo bahati mbaya, ila ndo ‘ivo ntakwenda wapi
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya (yeah)
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya (yeah)
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya
tupo bongo bahati mbaya tu, karibu ulaya (oya, producеr mi ntikati, eh)
we ndio producer w*ngu mkali, еh?
he*eh, hivi we ni producer au jini?
ahaha! whoa, bongo bahati mbaya
lirik lagu lainnya :
- kumpulan lirik lagu icytwat › lirik lagu lil shorty 2 – icytwat
- kumpulan lirik lagu rayden › lirik lagu ne riderai – rayden
- kumpulan lirik lagu j4ydizz1e › lirik lagu in the old days – j4ydizz1e
- kumpulan lirik lagu mishovy silenosti › lirik lagu cyberbully channels are cancer – mishovy šílenosti
- kumpulan lirik lagu jahmal feat витя ак › lirik lagu чё попало шоу – jahmal feat. витя ак
- kumpulan lirik lagu diego natan › lirik lagu basta a ti clamar – diego natan
- kumpulan lirik lagu shankar mahadevan › lirik lagu male version – shankar mahadevan
- kumpulan lirik lagu britney spears › lirik lagu just like me – britney spears
- kumpulan lirik lagu typ vox feat padre fabio de melo › lirik lagu alma de adorador – typ vox feat. padre fábio de melo
- kumpulan lirik lagu mic gower › lirik lagu thankful – mic gower